AFYA YA UZAZI
Ugonjwa wa Kisonono unakuwa na dalili mbalimbali. Matibabu yapo na njia nzuri ni kumshirikisha mwenza wako pale uonapo dalili na kwenda kufanyiwa uchunguzi kwa pamoja.
AfyatoonUgonjwa wa Kisonono unakuwa na dalili mbalimbali. Matibabu yapo na njia nzuri ni kumshirikisha mwenza wako pale uonapo dalili na kwenda kufanyiwa uchunguzi kwa pamoja.
Afyatoon